Kutoka 12:34

swh_bibKutoka 12:34

Hivyo watu wakachukua donge lao la unga kabla ya kutiwa chachu, wakaweka ndani ya mabakuli ya kukandia, wakayaviringisha katika vitambaa na kuyabeba mabegani mwao.

eng_kjvExodus 12:34

And the people took their dough before it was leavened, their kneadingtroughs being bound up in their clothes upon their shoulders.