swh_bibKutoka 12:34
Hivyo watu wakachukua donge lao la unga kabla ya kutiwa chachu, wakaweka ndani ya mabakuli ya kukandia, wakayaviringisha katika vitambaa na kuyabeba mabegani mwao.
eng_kjvExodus 12:34
And the people took their dough before it was leavened, their kneadingtroughs being bound up in their clothes upon their shoulders.