Kutoka 10:23

swh_bibKutoka 10:23

Hakuna mtu yeyote aliyeweza kumwona mwenzake, wala kuondoka mahali alipokuwa kwa muda wa siku tatu. Lakini Waisraeli wote walikuwa na mwanga katika maeneo yao waliyokuwa wanaishi.

eng_kjvExodus 10:23

They saw not one another, neither rose any from his place for three days: but all the children of Israel had light in their dwellings.