Kutoka 10:10

swh_bibKutoka 10:10

Farao akasema, “Bwana awe pamoja nanyi, kama nikiwaruhusu mwondoke pamoja na wanawake wenu na watoto wenu! Ni wazi kwamba mna makusudi mabaya.

eng_kjvExodus 10:10

And he said unto them, Let the LORD be so with you, as I will let you go, and your little ones: look to it; for evil is before you.