swh_bibWaefeso 2:14
Kwa maana yeye mwenyewe ndiye amani yetu, aliyetufanya sisi tuliokuwa wawili, yaani, Wayahudi na watu wa Mataifa, tuwe wamoja kwa kuvunja kizuizi na kubomoa ule ukuta wa uadui uliokuwa kati yetu,
eng_kjvEphesians 2:14
For he is our peace, who hath made both one, and hath broken down the middle wall of partition between us;