Mhubiri 11:10

swh_bibMhubiri 11:10

Kwa hiyo basi, ondoa wasiwasi moyoni mwako na utupilie mbali masumbufu ya mwili wako, kwa kuwa ujana na nguvu ni ubatili.

eng_kjvEcclesiastes 11:10

Therefore remove sorrow from thy heart, and put away evil from thy flesh: for childhood and youth are vanity.