swh_bibKumbukumbu La Torati 5:26
Ni mtu yupi mwenye mwili ambaye amewahi kuisikia sauti ya Mungu aliye hai akizungumza kutoka kwenye moto, kama sisi tulivyoisikia, naye akaishi?
eng_kjvDeuteronomy 5:26
For who is there of all flesh, that hath heard the voice of the living God speaking out of the midst of the fire, as we have, and lived?