swh_bibKumbukumbu La Torati 24:6
Usitoe jozi ya mawe ya kusagia, hata ikiwa lile la juu, kuweka rehani kwa ajili ya deni, kwa sababu itakuwa ni kuweka uhai wa mtu kama dhamana.
eng_kjvDeuteronomy 24:6
¶ No man shall take the nether or the upper millstone to pledge: for he taketh a man’s life to pledge.