swh_bibKumbukumbu La Torati 19:17
watu wawili wanaohusika katika mabishano lazima wasimame mbele za Bwana na mbele ya makuhani na waamuzi ambao wako kazini wakati huo.
eng_kjvDeuteronomy 19:17
Then both the men, between whom the controversy is, shall stand before the LORD, before the priests and the judges, which shall be in those days;