swh_bibKumbukumbu La Torati 13:1
Kama nabii, au yule anayetabiri kwa njia ya ndoto, akijitokeza miongoni mwenu na akawatangazia ishara ya miujiza na ajabu,
eng_kjvDeuteronomy 13:1
If there arise among you a prophet, or a dreamer of dreams, and giveth thee a sign or a wonder,