swh_bibDanieli 6:5
Mwishoni watu hawa walisema, “Kamwe hatutapata msingi wa mashtaka dhidi ya huyu Danieli isipokuwa iwe inahusiana na sheria ya Mungu wake.”
eng_kjvDaniel 6:5
Then said these men, We shall not find any occasion against this Daniel, except we find it against him concerning the law of his God.