Wakolosai 2:22

swh_bibWakolosai 2:22

Haya yote mwisho wake ni kuharibika yanapotumiwa, kwa sababu msingi wake ni katika maagizo na mafundisho ya wanadamu.

eng_kjvColossians 2:22

Which all are to perish with the using;) after the commandments and doctrines of men?