swh_bibWakolosai 2:15
Mungu akiisha kuzivua enzi na mamlaka, alizifanya kuwa kitu cha fedheha hadharani kwa kuziburura kwa ujasiri, akizishinda katika msalaba wa Kristo.
eng_kjvColossians 2:15
And having spoiled principalities and powers, he made a shew of them openly, triumphing over them in it.