swh_bibMatendo Ya Mitume 8:10
nao watu wote wakubwa kwa wadogo wakamsikiliza na kumaka, wakisema “Mtu huyu ndiye uweza wa Mungu ujulikanao kama ‘Uweza Mkuu.’ ”
eng_kjvActs 8:10
To whom they all gave heed, from the least to the greatest, saying, This man is the great power of God.