swh_bibMatendo Ya Mitume 6:13
Wakaweka mashahidi wa uongo ambao walishuhudia wakisema, “Mtu huyu kamwe haachi kusema dhidi ya mahali hapa patakatifu na dhidi ya Sheria.
eng_kjvActs 6:13
And set up false witnesses, which said, This man ceaseth not to speak blasphemous words against this holy place, and the law: