swh_bibMatendo Ya Mitume 5:38
Kwa hiyo, kwa habari ya jambo hili nawashauri, jiepusheni na watu hawa. Waacheni waende zao! Kwa maana kama kusudi lao na shughuli yao imetokana na mwanadamu, haitafanikiwa.
eng_kjvActs 5:38
And now I say unto you, Refrain from these men, and let them alone: for if this counsel or this work be of men, it will come to nought: