Matendo Ya Mitume 20:38

swh_bibMatendo Ya Mitume 20:38

Kilichowahuzunisha zaidi ni kwa sababu ya yale maneno aliyosema kwamba kamwe hawatauona uso wake tena. Wakaenda naye mpaka kwenye meli.

eng_kjvActs 20:38

Sorrowing most of all for the words which he spake, that they should see his face no more. And they accompanied him unto the ship.