swh_bibMatendo Ya Mitume 20:38
Kilichowahuzunisha zaidi ni kwa sababu ya yale maneno aliyosema kwamba kamwe hawatauona uso wake tena. Wakaenda naye mpaka kwenye meli.
eng_kjvActs 20:38
Sorrowing most of all for the words which he spake, that they should see his face no more. And they accompanied him unto the ship.