swh_bibMatendo Ya Mitume 20:1
Baada ya zile ghasia kumalizika, Paulo aliwaita wanafunzi pamoja akawatia moyo, akawaaga, akaanza safari kwenda Makedonia.
eng_kjvActs 20:1
And after the uproar was ceased, Paul called unto him the disciples, and embraced them, and departed for to go into Macedonia.