swh_bibMatendo Ya Mitume 18:10
kwa maana mimi niko pamoja nawe, wala hakuna mtu atakayeweza kukushambulia ili kukudhuru, kwa kuwa ninao watu wengi katika mji huu ambao ni watu wangu.”
eng_kjvActs 18:10
For I am with thee, and no man shall set on thee to hurt thee: for I have much people in this city.