swh_bibMatendo Ya Mitume 16:33
Wakati ule ule, yule mkuu wa gereza akawachukua, akawaosha majeraha yao, kisha akabatizwa yeye pamoja na wote waliokuwa nyumbani mwake bila kuchelewa.
eng_kjvActs 16:33
And he took them the same hour of the night, and washed their stripes; and was baptized, he and all his, straightway.