swh_bib2 Wathesalonike 1:10
siku hiyo atakapokuja kutukuzwa katika watakatifu wake na kustaajabiwa miongoni mwa wote walioamini. Ninyi pia mtakuwa miongoni mwa hawa kwa sababu mliamini ushuhuda wetu kwenu.
eng_kjv2 Thessalonians 1:10
When he shall come to be glorified in his saints, and to be admired in all them that believe (because our testimony among you was believed) in that day.