swh_bib2 Samweli 3:37
Kwa hiyo siku ile watu wote na Israeli yote wakajua kwamba mfalme hakushiriki katika mauaji ya Abneri mwana wa Neri.
eng_kjv2 Samuel 3:37
For all the people and all Israel understood that day that it was not of the king to slay Abner the son of Ner.