swh_bib2 Samweli 3:20
Wakati Abneri aliyekuwa na watu ishirini pamoja naye, alipokuja kwa Daudi huko Hebroni, Daudi akamwandalia karamu pamoja na watu wake.
eng_kjv2 Samuel 3:20
So Abner came to David to Hebron, and twenty men with him. And David made Abner and the men that were with him a feast.