swh_bib2 Samweli 2:31
Lakini watu wa Daudi walikuwa wamewaua watu wa kabila la Benyamini 360 waliokuwa pamoja na Abneri.
eng_kjv2 Samuel 2:31
But the servants of David had smitten of Benjamin, and of Abner’s men, so that three hundred and threescore men died.