swh_bib2 Samweli 2:14
Ndipo Abneri akamwambia Yoabu, “Tuwaweke baadhi ya vijana wasimame na wapigane ana kwa ana mbele yetu.” Yoabu akasema, “Sawa, na wafanye hivyo.”
eng_kjv2 Samuel 2:14
And Abner said to Joab, Let the young men now arise, and play before us. And Joab said, Let them arise.