2 Samweli 23:22

swh_bib2 Samweli 23:22

Haya yalikuwa mambo ya ushujaa ya Benaya mwana wa Yehoyada; naye pia alikuwa maarufu kama wale mashujaa watatu.

eng_kjv2 Samuel 23:22

These things did Benaiah the son of Jehoiada, and had the name among three mighty men.