swh_bib2 Samweli 20:13
Baada ya Amasa kuondolewa kutoka barabarani, watu wote walienda pamoja na Yoabu kumfuatia Sheba mwana wa Bikri.
eng_kjv2 Samuel 20:13
When he was removed out of the highway, all the people went on after Joab, to pursue after Sheba the son of Bichri.