swh_bib2 Samweli 1:18
naye akaagiza kwamba watu wa Yuda wafundishwe ombolezo hili la upinde (ambalo limeandikwa katika Kitabu cha Yashari):
eng_kjv2 Samuel 1:18
(Also he bade them teach the children of Judah the use of the bow: behold, it is written in the book of Jasher.)