swh_bib2 Samweli 15:16
Mfalme akatoka, pamoja na watu wa nyumbani mwake wakimfuata; lakini akawaacha masuria kumi ili kuangalia jumba la kifalme.
eng_kjv2 Samuel 15:16
And the king went forth, and all his household after him. And the king left ten women, which were concubines, to keep the house.