swh_bib2 Samweli 14:6
Mimi mtumishi wako nilikuwa na wana wawili. Wakapigana wao kwa wao huko shambani wala huko hapakuwa na mtu hata mmoja wa kuwaamua. Mmoja akampiga mwenzake na kumuua.
eng_kjv2 Samuel 14:6
And thy handmaid had two sons, and they two strove together in the field, and there was none to part them, but the one smote the other, and slew him.