swh_bib2 Samweli 13:37
Absalomu akakimbia na kwenda kwa Talmai mwana wa Amihudi, mfalme wa Geshuri. Lakini Mfalme Daudi akaomboleza kwa ajili ya mwanawe kila siku.
eng_kjv2 Samuel 13:37
¶ But Absalom fled, and went to Talmai, the son of Ammihud, king of Geshur. And David mourned for his son every day.