swh_bib2 Samweli 12:16
Daudi akamwomba Mungu kwa ajili ya mtoto. Akafunga na akaingia ndani ya nyumba yake akawa siku zote analala sakafuni usiku kucha.
eng_kjv2 Samuel 12:16
David therefore besought God for the child; and David fasted, and went in, and lay all night upon the earth.