swh_bib2 Petro 2:9
ikiwa hivyo ndivyo, basi Bwana anajua jinsi ya kuwaokoa wamchao Mungu kutoka majaribu, na kuwaweka waasi katika adhabu hadi siku ya hukumu.
eng_kjv2 Peter 2:9
The Lord knoweth how to deliver the godly out of temptations, and to reserve the unjust unto the day of judgment to be punished: