2 Petro 2:16

swh_bib2 Petro 2:16

Lakini kwa ajili ya uovu wake, alikemewa na punda, mnyama asiyejua kusema, akaongea akitumia sauti ya mwanadamu na kuzuia wazimu wa huyo nabii.

eng_kjv2 Peter 2:16

But was rebuked for his iniquity: the dumb ass speaking with man’s voice forbad the madness of the prophet.