swh_bib2 Wafalme 15:1
Katika mwaka wa ishirini na saba wa utawala wa Yeroboamu mfalme wa Israeli, Azaria mwana wa Amazia mfalme wa Yuda alianza kutawala.
eng_kjv2 Kings 15:1
In the twenty and seventh year of Jeroboam king of Israel began Azariah son of Amaziah king of Judah to reign.