swh_bib2 Wafalme 12:16
Fedha zilizopatikana kutokana na sadaka za hatia na sadaka za dhambi hazikuletwa katika Hekalu la Bwana; zilikuwa mali ya makuhani.
eng_kjv2 Kings 12:16
The trespass money and sin money was not brought into the house of the LORD: it was the priests’.