swh_bib2 Wakorintho 8:17
Si kwamba Tito amekubali tu ombi letu, bali anakuja kwenu akiwa na shauku kuliko wakati mwingine, tena kwa hiari yake mwenyewe.
eng_kjv2 Corinthians 8:17
For indeed he accepted the exhortation; but being more forward, of his own accord he went unto you.