swh_bib2 Wakorintho 6:4
Bali kama watumishi wa Mungu tuonyeshe kwa kila njia: katika saburi nyingi; katika dhiki, katika misiba, na katika shida;
eng_kjv2 Corinthians 6:4
But in all things approving ourselves as the ministers of God, in much patience, in afflictions, in necessities, in distresses,