swh_bib2 Wakorintho 2:15
Kwa maana sisi kwa Mungu ni harufu nzuri ya manukato ya Kristo miongoni mwa wale wanaookolewa na kwa wale wanaopotea.
eng_kjv2 Corinthians 2:15
For we are unto God a sweet savour of Christ, in them that are saved, and in them that perish: