2 Wakorintho 1:20

swh_bib2 Wakorintho 1:20

Kwa maana ahadi zote za Mungu zilizo katika Kristo ni “Ndiyo.” Kwa sababu hii ni kwake yeye tunasema “Amen” kwa utukufu wa Mungu.

eng_kjv2 Corinthians 1:20

For all the promises of God in him are yea, and in him Amen, unto the glory of God by us.