swh_bib2 Wakorintho 10:10
Kwa maana wanasema, “Nyaraka zake ni nzito na zenye nguvu, lakini ana kwa ana ni dhaifu na kuzungumza kwake ni kwa kudharauliwa.”
eng_kjv2 Corinthians 10:10
For his letters, say they, are weighty and powerful; but his bodily presence is weak, and his speech contemptible.