swh_bib1 Timotheo 5:11
Lakini kwa habari za wajane vijana usiwaweke kwenye orodha hiyo, maana tamaa zao za kimaumbile zikizidi kule kujitoa kwao kwa Kristo, watataka kuolewa tena.
eng_kjv1 Timothy 5:11
But the younger widows refuse: for when they have begun to wax wanton against Christ, they will marry;