1 Timotheo 4:2

swh_bib1 Timotheo 4:2

Mafundisho kama hayo huja kupitia kwa waongo ambao ni wanafiki, hali dhamiri zao zikiungua kwa kuchomwa moto.

eng_kjv1 Timothy 4:2

Speaking lies in hypocrisy; having their conscience seared with a hot iron;