swh_bib1 Wathesalonike 5:12
Sasa tunawaomba, ndugu, waheshimuni wale wanaofanya kazi kwa bidii miongoni mwenu, wale ambao wana mamlaka juu yenu katika Bwana na ambao wanawaonya.
eng_kjv1 Thessalonians 5:12
And we beseech you, brethren, to know them which labour among you, and are over you in the Lord, and admonish you;