swh_bib1 Samweli 7:16
Mwaka hadi mwaka aliendelea kuzunguka kutoka Betheli mpaka Gilgali na Mispa, akiamua Israeli katika sehemu hizo zote.
eng_kjv1 Samuel 7:16
And he went from year to year in circuit to Beth-el, and Gilgal, and Mizpeh, and judged Israel in all those places.