1 Samweli 6:10

swh_bib1 Samweli 6:10

Basi wakafanya hivyo. Wakachukua ngʼombe wawili wa aina hiyo, wakawafungia hilo gari la kukokotwa, nao ndama wao wakawekwa zizini.

eng_kjv1 Samuel 6:10

¶ And the men did so; and took two milch kine, and tied them to the cart, and shut up their calves at home: