swh_bib1 Samweli 3:2
Usiku mmoja Eli, ambaye macho yake yalikuwa yamefifia sana kiasi kwamba aliona kwa shida sana, alikuwa amelala mahali pake pa kawaida.
eng_kjv1 Samuel 3:2
And it came to pass at that time, when Eli was laid down in his place, and his eyes began to wax dim, that he could not see;