swh_bib1 Samweli 30:20
Akachukua makundi yote ya kondoo, mbuzi na ngʼombe, nao watu wake wakawaswaga wanyama hao mbele ya wanyama wengine wa kufugwa, wakisema, “Hizi ni nyara za Daudi.”
eng_kjv1 Samuel 30:20
And David took all the flocks and the herds, which they drave before those other cattle, and said, This is David’s spoil.