swh_bib1 Samweli 28:10
Sauli akamwapia huyo mwanamke kwa Jina la Bwana, akasema, “Kwa hakika kama Bwana aishivyo, hutaadhibiwa kwa ajili ya jambo hili.”
eng_kjv1 Samuel 28:10
And Saul sware to her by the LORD, saying, As the LORD liveth, there shall no punishment happen to thee for this thing.