swh_bib1 Samweli 27:2
Hivyo Daudi akaondoka na hao watu mia sita waliokuwa pamoja naye na kwenda kwa Akishi mwana wa Maoki mfalme wa Gathi.
eng_kjv1 Samuel 27:2
And David arose, and he passed over with the six hundred men that were with him unto Achish, the son of Maoch, king of Gath.