1 Samweli 24:22

swh_bib1 Samweli 24:22

Basi Daudi akamwapia Sauli. Kisha Sauli akarudi zake nyumbani, lakini Daudi na watu wake wakapanda kwenda ngomeni.

eng_kjv1 Samuel 24:22

And David sware unto Saul. And Saul went home; but David and his men gat them up unto the hold.